UHABA wa magari ya kubebea maiti mjini Bukoba umepelekea wananchi kubuni mbinu mpya ya kusafirisha maiti kwa kutumia BodaBoda. Kama unavyoona picha hapo juu mwananchi akisafirisha maiti kwa BodaBoda... Hali hii inasikitisha sana....
Source:- Wajanja club.
No comments:
Post a Comment
HTML tags