Msanii wa Naigeria maarufu kama Aki anatarajia kuoa hivi karibuni.
Na sherehe za harusi hiyo zitaanza Novemba 26 ambapo itakuwa ni Traditional weeding itakayofanyika katika mji wa Mbano,Imo state
Na itakapofika December 10 itakuwa ni White weeding itakayofanyika Logos.
Aki anatarajia kumuoa mpenzi wake Nneoma Nwaijah.
Hongereni na Mungu awatangulie.
No comments:
Post a Comment
HTML tags