Monday, November 21, 2011
Mzee mwenye miaka 103,Watoto 57,Wajukuu 200,na Vitukuu 70
Mzee huyo anaitwa Nterege ana umri wa miaka 103 ana watoto 57,wajukuu 200 na vitukuu 70.
Pichani ni mzee Nterege akiwa na diwani wake.
Hawa ndio wajukuu zake katika picha ya pamoja.
stori hii nimeiona huko kwenye blog moja inaitwa wajanjaclub.
No comments:
Post a Comment
HTML tags
Newer Post
Older Post
Home
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment
HTML tags